image description
# 765536
USD 17.00 (Book Not in Ready Stock, will take 45-60 days to source and dispatch)
- +

Mungu Hakopeshwi : Riwaya Hii Metunukiwa Tuzo Kiswahili Ya Mabati-Cornell Ya Fasihi Ya Afrika

Author :  Zainab Alwi Baharoon

Product Details

Country
Tanzania
Publisher
Mkuki na Nyota Publishers Ltd, Dar es Salaam, Tanzania
ISBN 9789987753932
Format PaperBack
Language Swahili
Year of Publication 2017
Bib. Info 258p. ; 198x129mm.
Product Weight 340 gms.
Shipping Charges(USD)

Product Description

Riwaya ya Mungu Hakopeshwi inaelezea maisha ya familia moja ya Unguja iliyoingia katika mitafaruku na mikasa mingi. Kila kitu huwa na chanzo na khatima; basi ni nini chanzo cha mitafaruku hiyo na khatima yake ilikuwaje? Simulizi ni juu ya baba, Bw. Ahmed, mwenye hasira kali zisizo na mipaka, aliyeongoza familia yake kwa utashi wa nafsi yake, bila kujali hisia za mkewe wala wanawe. Kumbe moyoni mwake alihifadhi siri, na hiyo siri ndiyo iliyomfanya Bw. Ahmed kuwa mkali bila kiasi, ikimsukuma azuie kurejea kwa yale yaliyomfika zamani. Lakini kivuli cha historia ya maisha yake ya nyuma hakikuacha kumuandama. Riwaya hii i meandikwa kwa lugha nzuri na fasaha, kwa ufundi wa msanii makini na mwelewa wa maisha ya jamii za Kizanzibari na za mwambao kwa jumla.

Product added to Cart
Copied