image description
# 835584
USD 18.00 (Book in Stock, will be dispatched ASAP)
- +

Dau Lazama

Author :  Kulei G. Serem

Product Details

Country
Kenya
Publisher
African Ink Publishers, Kenya
ISBN 9798731585408
Format PaperBack
Language Swahili
Year of Publication 2021
Bib. Info x, 116p.
Product Weight 200 gms.
Shipping Charges(USD)

Product Description

Dau Lazama inatoa picha halisi ya mambo yanayoendelea katika jamii hususan katika bara la Afrika. Walalahoi katika taifa la Ngomeni wanapitia madhila yasiyo na kifani kutoka kwa walio na mamlaka ya dola. Ni bayana kwamba uongozi katika taifa hili ni wa kiimla. Tembo anatumia mbinu kali kuwakaandamiza wapinzani wa sera zake. Vilevile pana asasi muhimu za jamii kama vile dini, zinazofaa kuyanyosha maadili katika jamii ila sivyo katika taifa la Ngomeni: Mchungaji Kombo anauunga mkono ukoloni mamboleo na kushirikiana nao. Si hayo tu, siri kubwa inayozingira maisha ya kijana Bahati kuihusu usuli na hatima yake ya maisha inateka bakunja nadhari ya msomaji.

Product added to Cart
Copied